16 Aprili 2025 - 20:55
Chuo Kikuu cha Jamiatul Mustafa - Dar-es-salaam - Tanzania kimeandaa Kongamano la Kisayansi kuhusu Maendeleo katika Ulimwengu wa Kiislamu

Kongamano hili litajadili juu ya Maendeleo katika Ulimwengu wa Kiislamu kati ya changamoto na mkakati. Mhadhiri: Samahat Sheikh Mulaba Saleh. Siku ya: Jumamosi; 19/04/2025. Kuanzia: 10 - 12:00 AM. Katika Ukumbi wa Sala wa Chuo cha Jamiat Al- Mustafa. Watu wote mnakaribishwa kuhudhuria katika nad'wa hii ya Kisayansi.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Kitengo cha Utafiti wa Kisayansi katika Chuo cha cha Al-Mustafa (S) Tawi la Dar -es- Salam, kimeandaa
Kongamano la Kisayansi kuhusu: Maendeleo katika Ulimwengu wa Kiislamu kati ya changamoto na mkakati.

Mhadhiri: Samahat Sheikh Mulaba Saleh.
Siku ya: Jumamosi; 19/04/2025. Kuanzia: 10 - 12:00 AM.

Katika Ukumbi wa Sala wa Chuo cha Jamiat Al- Mustafa.

Watu wote mnakaribishwa kuhudhuria katika nad'wa hii ya Kisayansi.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha